Baada ya miaka 25, Tony Abbott inaonekana kuwa amepoteza kiti chake kwa mgombea huru Zali Steggall

Waziri Mkuu wa zamani Tony Abbott amepoteza wapiga kura wake wa Warringah kwa mgombea wa kujitegemea Zali Steggall, baada ya miaka 25 katika kiti.

Zali Steggal vs Tony Abbott in Warringah

Zali Steggal vs Tony Abbott in Warringah Source: AAP

Baada ya miongo miwili, waziri mkuu wa zamani Tony Abbott aliyekuwa akiongoza kama mwanasiasa, anaonekana kuwa amekwisha kumalizika muda wake baada ya mgombea wa kujitegemea Zali Steggall kutwaa kiti hicho cha cha jimbo la Warringah.
ZALI STEGGALL
Zali Steggall has been riding a wave of discontent with Tony Abbott on the issue of climate change. Source: AAP
Bw Abbott alianza kutupiliwa mbali kwa kiasi kikubwa cha kura karibu asilimia 14 mnamo saa 7.42pm (AEST), kulingana na Tume ya Uchaguzi ya Australia.



Habari za Sky na Mtandao wa kituo cha habari cha Nine wametangaza kiti  hicho kwenda kwa Bi Steggall kulingana na makadirio.


Share

Published

By Rashida Yosufzai
Presented by Frank Mtao
Source: SBS News

Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service