Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Watu 65 wahofiwa kufa katika ajali ya ndege ya Iran

Ndege hiyo iliyotoka matengenezo baada ya kuzuiliwa kufanya kazi kwa miaka saba, imepata ajali kwenye eneo la ukungu mwingi na lenye milima, lililoko mkoa wa kusini Irani, na maafisa wanahofia kuwa watu wote 65 wamefariki dunia.

Relatives of passengers and crew on an Iranian flight are bracing for the worst after it crashed.
Source: AAP

Ndege hiyo ilikuwa ikitumika kwa safari fupi za ndani ya nchi hiyo ambapo, ilianguka umbali mdogo kabla haijatua katika mji wa Yasuj kusini mwa Irani takribani kilomita 780 toka mji mkuu wa Tehran ambako ilipoanzia kuruka.

Msemaji wa shirika hilo la ndege aina ya Aseman Bwana Mohammad Taghi Tabatabai aliiambia runinga ya taifa kuwa, waliokuwa kwenye ndege namba EP3704 wore wamefariki.

Alisema, ndege hilo ilibeba abiria 59 na pamoja na wafanyakazi wa ndege 6 hivyo kufanya idadi kuwa 65 waliopoteza maisha.


1 min read

Published

Updated

By SBS/AAP

Presented by Frank Mtao

Source: AAP, SBS



Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now