Takribani watu tisa wafariki dunia baada ya shambulio la bomu kwa gari Somalia

Waziri wa mambo ya nje wa zamani wa Somalia ameuawa pamoja na wengine tisa baada ya shambulio la kujitoa mhanga la bomu la gari karibu na Ikulu ya Rais mjini Mogadishu.

Somalis walk near the wreckage after a suicide car bomb attack in the capital Mogadishu.

Somalis walk near the wreckage after a suicide car bomb attack in the capital Mogadishu. Source: AP

Kikundi cha Kiislamu wenye msimamo mkali wamelipua bomu la kujitoa mhanga kwa kutumia gari karibu na jumba la rais kwenye mji mkuu wa Somalia Mogadishu, na kuua angalau watu tisa, ikiwa ni pamoja na Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje Hussein Elabe Fahiye.

Kapteni Mohamed Hussein aliwaambia waandishi wa habari kuwa, watu 13 walijeruhiwa na majeruhi wengi walikuwa askari.

Kikundi cha kigaidi cha al-Shabab cha Somalia, kilidai kuhusika na mlipuko huo, kikisema kuwa kililenga kushambulia magari yaliobeba viongozi wa serikali.


Share

Published

Updated

By Frank Mtao
Presented by Frank Mtao

Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service