Baada ya wiki za vitisho, Urusi ya vamia Ukraine

Baraza la Umoja wa Mataifa lilikuwa katika kikao maalum likijadili mvutano kati ya Urusi na Ukraine, taarifa zilipo tokea kuwa serikali ya Urusi ilikuwa ime zindua mashambulizi iliyokuwa imetishia kwa muda mrefu.

Ukrainian military vehicles move past Independence square in central Kyiv as cities across Ukraine were hit with what Ukrainian officials said were Russian missile strikes and artillery on 24 February, 2022.

Source: Getty / DANIEL LEAL/AFP via Getty Image

Mabalozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa waliokuwa wakishiriki katika kikao hicho, walikemea vikali maamuzi ya serikali ya Ukraine kuzindua shambulizi hilo, hata hivyo balozi wa Urusi alitetea serikali yake kwakusema wanacho fanya ni oparesheni maalum yakijeshi nasi uvamizi wa Ukraine.

Siku mbaya kwa Ukraine
Raia wakimbia kutoka nyumba iliyo gongwa kwa shambulizi la anga katika kijiji cha Luhanskaya, Ukraine. Source: World Press Photo

Waziri Mkuu wa Australia Scott Morrison na Kiongozi wa Upinzani Anthony Albanese kwa sauti moja wamekemea shambulizi hilo la Urusi, na Waziri Mkuu ametangaza vikwazo vya ziada vinavyo walenga wandani wa serikali ya Urusi. Imeripotiwa kuwa takriban idadi ya watu 50 wame fariki, na mamia kujeruhiwa katika siku ya kwanza ya uvamizi huo, ila idadi hiyo inatarajiwa kuongezeka. Raia wa Australia wenye asili ya Ukraine wamefanya maandamano kote nchini, kupinga uvamizi wa Urusi.

Image

SBS Swahili itakuletea taarifa mpya, kuhusu tukio hili punde tutakapo zipokea.


Share

Published

Updated

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS Swahili

Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service