Mahakama kuu ya amuru uchaguzi mpya wa urais ndani ya siku 60

Wakenya ulimwenguni kote wame fuatilia matukio ndani ya mahakama kuu mjini Nairobi Kenya, kila mmoja wao akisubiri uamuzi wa mahakimu husika.

Mahakimu ndani ya mahakama kuu, Nairobi, Kenya

Mahakimu ndani ya mahakama kuu, Nairobi, Kenya Source: Nairobi News/ Jeff Angote

Baada ya pande zote kuwasilisha kesi zao na mahakimu kujadiliana kwa upana, Hakimu Mkuu Maraga alisoma uamuzi wa mahakimu wenza.

Hakimu Mkuu Maraga alieleza mahakama na taifa kwamba, uamuzi ulifikiwa kwa wingi wa mahakimu wanne ilhali wawili walipinga uamuzi huo. Hata hivyo matokeo yaliyo mpa rais Uhuru Kenyatta ushindi dhidi ya Raila Odinga yame futwa na uchaguzi mpya kuamuriwa kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini Kenya.
Mahakimu ndani ya mahakama kuu, Nairobi, Kenya
Mahakimu ndani ya mahakama kuu, Nairobi, Kenya Source: Nairobi News

Licha ya kuto toa maelezo kwa upana ya uamuzi huo, hakimu mkuu Maraga ame amuru tume ya uchaguzi IEBC, kuandaa uchaguzi mpya wa urais.

 


Share

1 min read

Published

By SBS Swahili

Presented by SBS Swahili

Source: SBS Swahili



Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service