"Wapo" yamweka Nay wa Mitego jela

Jeshi la polisi la Tanzania lime thibitisha ripoti zaku kamatwa kwa nyota wa rap, Emmanuel Elibariki alimaarufu kama Nay wa Mitego.

Msanii wa Bongo fleva Nay wa Mitego

Msanii wa Bongo fleva Nay wa Mitego Source: Nay wa Mitego

Nay wa Mitego mwenyewe alithibitisha ripoti hizo kupitia ukurasa wake wa Instagram aliko andika:
Tangazo la Ney wa Mitego kwenye Instagram
Tangazo la Ney wa Mitego kwenye Instagram Source: Ney wa Mitego

Jeshi la polisi halija fafanua sababu zaku kamatwa kwa Nay wa Mitego, isipokuwa kwamba msanii huyo ame pelekwa Dar es Salaam ambako amri laku kamatwa kwake lilitoka.

Licha ya uhaba wa maelezo kuhusu sababu zaku kamatwa kwa Nay wa Mitego, vyombo vingi vya habari vime dokeza kukamatwa kwake kuna husiana na wimbo wake mpya, "wapo". Wimbo huo unakosoa hatua ya serikali kukandamiza uhuru wakuongea nchini, ufisadi, vyombo vya habari vinavyo pindisha taarifa kwaku iogopa serikali pamoja na maswala mengine yaki jamii.


Share

Published

Updated

By SBS Swahili
Source: SBS

Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service