Bruce Kamau aadhibu Brisbane Roar

Msimu mpya wa A-League ume anza kwa kishindo kupitia magoli ya mshambuliaji wa Melbourne City FC, Bruce Kamau.

Bruce Kamau asherehekea magoli yake mawili dhidi ya Brisbane Roar

Bruce Kamau asherehekea magoli yake mawili dhidi ya Brisbane Roar Source: Getty Images

Maandalizi ya miezi sita ya msimu mpya wa A-League yali malizwa katika uwanja wa AAIMI mjini Melbourne, mshambuliaji wa Melbourne City Bruce Kamau alipo chukua sheria mkononi katika dakika za mwisho wa kipindi cha kwanza katika mechi ya kwanza ya msimu dhidi ya Brisbane Roar.

Bruce Kamau alipokea mpira nje ya eneo la hatari, nakufyiatua mkwaju mkali na mpira huo ulitikisa wavu licha ya juhudi za mlinzi wa Brisbane Roar kujaribu kuuzuia kuingia wavuni.

Kamau alihakikisha ushindi wa Melbourne City katika dakikta ya 75 alipo fyatua mkwaju mwingine ambao ulimgonga mlinzi wa Brisbane Roar naku salia wavuni kwa mara ya pili. Goli hilo lilimpa Bruce Kamau tuzo ya mchezaji bora katika mechi yaku fungua msimu mpya wa 2017/18 A-League.


Share

1 min read

Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by SBS Swahili

Source: SBS




Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service