Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Burundi yaomboleza kifo cha Rais Peter Nkurunziza

Warundi wote ndani na nje ya nchi hiyo wametikishwa na taarifa za kifo cha Rais wao.

Aliyekuwa Rais wa Burundi, Peter Nkurunziza
Aliyekuwa Rais wa Burundi, Peter Nkurunziza Source: Peter Nkurunziza

Katika ujumbe wa Twitter, msemaji wa serikali ya Burundi Balozi Willy Nyamitwe alitangaza kuwa Rais Peter Nkurunziza amefariki baada yakukabiliwa na mshtuko wa moyo.

Rais Nkurunziza aliongoza Burundi kwa miaka 15 na alikuwa aondoke madarakani miezi michache ijayo baada, ya Generali mstaafu Evariste Ndayishimiye kushinda uchaguzi wa rais siku chache zilizo pita.

Serikali ya Burundi imetangaza siku saba za maombolezi. Tutawaletea taarifa za ziada punde tutakapo zipokea.


1 min read

Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS Swahili


Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now