Burundi yaomboleza kifo cha Rais Peter Nkurunziza

Warundi wote ndani na nje ya nchi hiyo wametikishwa na taarifa za kifo cha Rais wao.

Aliyekuwa Rais wa Burundi, Peter Nkurunziza

Aliyekuwa Rais wa Burundi, Peter Nkurunziza Source: Peter Nkurunziza

Katika ujumbe wa Twitter, msemaji wa serikali ya Burundi Balozi Willy Nyamitwe alitangaza kuwa Rais Peter Nkurunziza amefariki baada yakukabiliwa na mshtuko wa moyo.

Rais Nkurunziza aliongoza Burundi kwa miaka 15 na alikuwa aondoke madarakani miezi michache ijayo baada, ya Generali mstaafu Evariste Ndayishimiye kushinda uchaguzi wa rais siku chache zilizo pita.

Serikali ya Burundi imetangaza siku saba za maombolezi. Tutawaletea taarifa za ziada punde tutakapo zipokea.


Share

Published

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS Swahili

Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Burundi yaomboleza kifo cha Rais Peter Nkurunziza | SBS Swahili