Dr William Ruto Rais mteule wa Kenya
Dr William Ruto Rais mteule wa Kenya
This article is more than 3 years old

Breaking

Dr William Ruto atangazwa Rais mteule wa Kenya

Baada ya vurugu iliyotishia kufutwa kwa tangazo la mshindi wa uchaguzi wa rais, hatimae Kenya imempata rais wa tano.

Published

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS
Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Kenya, Wafula Chebukati ametangaza rasmi kuwa Dr William Ruto ndiye mshindi wa uchaguzi wa urais wa 2022.

Tangazo hilo limejiri licha ya makamishna wanne wa tume hiyo, kujiweka mbali na tangazo hilo pamoja na mwenyekiti Chebukati kusema kuwa baadhi ya wafanyakazi wake walikuwa wame kamatwa na vyombo vya usalama bila sababu.

SBS Swahili itakuletea taarifa zaidi kuhusu tangazo hili hivi punde.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service