Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Kenya, Wafula Chebukati ametangaza rasmi kuwa Dr William Ruto ndiye mshindi wa uchaguzi wa urais wa 2022.
Tangazo hilo limejiri licha ya makamishna wanne wa tume hiyo, kujiweka mbali na tangazo hilo pamoja na mwenyekiti Chebukati kusema kuwa baadhi ya wafanyakazi wake walikuwa wame kamatwa na vyombo vya usalama bila sababu.
SBS Swahili itakuletea taarifa zaidi kuhusu tangazo hili hivi punde.