Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Dr William Ruto, Rais wa tano wa Kenya.jpg
Dr William Ruto, Rais wa tano wa Kenya.jpg
This article is more than 3 years old

Latest

Dr William Ruto, Rais rasmi wa 5 wa Kenya

Dr William Ruto amekula kiapo rasmi nakuwa Rais wa tano wa Jamhuri ya Kenya, ndani ya uwanja wakimataifa wa Kasarani mjini Nairobi.

Published

Updated

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS

Kwa mujibu wa katiba ya Kenya, kiapo cha urais lazima kichukuliwe kati ya saa nne asubuhi na saa nane mchana. Sherehe hiyo ilisimamiwa na Martha Koome, Jaji Mkuu wa Mahakama ya Upeo ya Kenya.

Dr William Ruto (katikati) ala kiapo cha Urais akisaidiwa na mkewe Mama taifa Rachel Ruto (kulia) anaye shika Biblia.jpg

Uwanja wa Kasarani ulijaa muda mfupi baada yakufunguliwa mida ya saa kumi unusu ya asubuhi. Marais wa nchi kadhaa walijumuika katika sherehe hiyo, na Rais Kenyatta alitimiza ahadi yake yakukabidhi mamlaka kwa amani licha yakumpigia debe mpinzani wa Dr Ruto katika kampeni za uchaguzi mkuu. Kabla yakumkabidhi Dr Ruto mamlaka, Rais Kenyatta alikagua gwaride kwa mara ya mwisho.

Rais Uhuru Kenyatta, akagua gwaride kwa mara ya mwisho kabla yakumkabidhi Dr Ruto mamlaka.jpg

Rais Dr Ruto ameingia katika historia ya siasa za Kenya, kuwa mtu aliyeshinda chaguzi zote alizo wania kwa mara ya kwanza.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now