Misri yasema, imewaua wapiganaji 20 mjini Sinai

Takribani wapiganaji 20 wameua katika ushindi wa Misri kaskazini mwa Sinai Peninsula.

A PKK militant stands at a barricade in Diyarbakir

Security forces have killed 20 Kurdish militants in southeast Turkey. (AAP) Source: AAP



Vikosi vya usalama vya Misri, vimewaua wanaoshukiwa kuwa wapiganaji 20 hivi karibuni kaskazini mwa Sinai Peninsula mpakani mwa Libya.

Jeshi la nchi hiyo limesema kuwa, vikosi vyake viliharibu maficho 18 na vituo vya silaha,

huku wakitegua mabomu 41 na kuwakamata watuhumiwa83.
Air strike
An air strike has reportedly killed several Egyptian militants in Sinai. Source: AAP
Jeshi limesema, mashambulizi ya anga, yaliharibu zaidi ya magari 39 magharibi mwa jangwa, ambapo magari hayo yalikuwa yamebeba silaha na mabomu.

Misri, kuanzia mwezi wa pili, walizindua operesheni ya kitaifa kupambana na waasi hao wapiganaji.

Imejitahidi kupambana na uasi wa muda mrefu huko Sinai ambayo sasa inahusishwa na kikundi cha Kiislamu cha IS.


Share

1 min read

Published

Updated

By Frank Mtao

Presented by Frank Mtao



Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service