Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wanne waua, baada ya kushambuliwa kwa risasi mjini Darwin

Watu kadhaa wahofiwa kufa, baada ya shambulio la risasi Darwin

Shooting in Darwin
Four people dead and a suspected gunman has been arrested following a shooting in Darwin. Source: AAP/ABC

Watu wanne wanaaminika kufariki dunia na mtuhumiwa kukamatwa baada ya shambulio la risasi huko Darwin.

Tukio hilo lilianza kwa taarifa kuwa mtu mmoja alionekana akipiga risasi hovyo mida ya saa 11.50 jioni leo Jumanne. 

Shambulio hilo la risasi limetokea kwenye kitongoji cha Woolner, na mtuhumiwa alielezewa kuwa ameshika bunduki na ni hatari.

Hakukamatwa kwa muda wa saa nzima hivi.

Polisi walithibitisha kumkamata mtu huyo mwenye umri wa miaka 45.

Mwanzo iliaminika mtu mmoja alikuwa ameua, polisi kwa sasa wanasema watu wanne wameua.

Siyo tukio la kigaidi

Kutoka Uingereza, Waziri mkuu Scott Morrison amesema "ushauri wetu ni kwamba hili siyo tukio la kigaidi".


1 min read

Published

Updated

By Frank Mtao




Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now