Wanne waua, baada ya kushambuliwa kwa risasi mjini Darwin

Watu kadhaa wahofiwa kufa, baada ya shambulio la risasi Darwin

Shooting in Darwin

Four people dead and a suspected gunman has been arrested following a shooting in Darwin. Source: AAP/ABC

Watu wanne wanaaminika kufariki dunia na mtuhumiwa kukamatwa baada ya shambulio la risasi huko Darwin.

Tukio hilo lilianza kwa taarifa kuwa mtu mmoja alionekana akipiga risasi hovyo mida ya saa 11.50 jioni leo Jumanne. 

Shambulio hilo la risasi limetokea kwenye kitongoji cha Woolner, na mtuhumiwa alielezewa kuwa ameshika bunduki na ni hatari.

Hakukamatwa kwa muda wa saa nzima hivi.

Polisi walithibitisha kumkamata mtu huyo mwenye umri wa miaka 45.

Mwanzo iliaminika mtu mmoja alikuwa ameua, polisi kwa sasa wanasema watu wanne wameua.

Siyo tukio la kigaidi

Kutoka Uingereza, Waziri mkuu Scott Morrison amesema "ushauri wetu ni kwamba hili siyo tukio la kigaidi".

Share

Published

Updated

By Frank Mtao

Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service