Feature

Hatimae Messi ashinda Kombe la Dunia

Baada ya mechi 64, hatimae kuna mshindi mpya wa Kombe la Dunia la FIFA nchini Qatar.

Linonel Messi.jpg

Lionel Messi of Argentinia (C) celebrate with their FIFA World Cup Qatar 2022 trophy after the teams victory while winners ceremony during the FIFA World Cup Qatar 2022 Final match between Argentina and France at Lusail Stadium on December 18, 2022 in Lusail City, Qatar.

Argentina ili ingia katika fainali ya kombe la dunia nchini Qatar dhidi ya Ufaransa, baada yakupoteza mechi moja dhidi ya Saudi Arabia.

Hadi dakika ya 79 mashabiki wa Argentina walikuwa wame anza sherehe za ushindi ila, katika dakika ya 80 nyota wa Ufaransa Kylian Mbappe alifunga goli la kwanza nalapili dakika moja baadae kusawazisha mechi hiyo.

Katika muda wa ziada Messi alifunga goli lake la pili nala tatu kuikaribisha Argentina karibu ya kombe la dunia, ila katika dakika 118, Mbappe alifunga goli lake la tatu nakulazimisha penati kuamua mechi hiyo.

Hata hivyo, baada ya Ufaransa kufeli kufunga penati mbili, Argentina ilifunga penati zao 4 nakumaliza ukame wazaidi ya miaka 30 bila kushinda kombe la dunia.

Share

Published

Updated

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS

Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Hatimae Messi ashinda Kombe la Dunia | SBS Swahili