'Mema yake yatabaki kukumbukwa daima': Salamu za rambirambi zamiminika kuomboleza kifo cha Bob Hawke ambaye amefariki akiwa mwenye umri wa miaka 89

Mke wake, Blanche d'Alpuget, amethibitisha kuwa waziri mkuu wa zamani wa kupitia chama cha Labor amefariki Alhamisi.

Former prime minister Bob Hawke died at his home in Sydney, aged 89.

Former prime minister Bob Hawke died at his home in Sydney, aged 89. Source: AAP

Viongozi mbalimbali wa kisiasa, wametoa salamu zao za rambirambi kufuatia kifo cha Waziri Mkuu wa zamani Bob Hawke, aliyefariki akiwa na umri wa miaka 89.
Former prime minister Bob Hawke.
Former prime minister Bob Hawke. Source: AAP
Waziri huyo wa Labor aliyedumu uongozini kwa miaka mingi, aliiongoza Australia kutoka 1983 hadi 1991, alifariki nyumbani kwake mjini Sydney siku ya Alhamisi.

Katika maelezo yake, mkewe Blanche d'Alpuget alesema "Leo tumempoteza Bob Hawke, Muastralia muhimu - wengi wangesema, Muastralia muhimu wa zama za vita vilivyopita".


Share

Published

Updated

By Frank Mtao
Presented by Frank Mtao
Source: SBS News

Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service