Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

'Mema yake yatabaki kukumbukwa daima': Salamu za rambirambi zamiminika kuomboleza kifo cha Bob Hawke ambaye amefariki akiwa mwenye umri wa miaka 89

Mke wake, Blanche d'Alpuget, amethibitisha kuwa waziri mkuu wa zamani wa kupitia chama cha Labor amefariki Alhamisi.

Former prime minister Bob Hawke died at his home in Sydney, aged 89.
Former prime minister Bob Hawke died at his home in Sydney, aged 89. Source: AAP

Viongozi mbalimbali wa kisiasa, wametoa salamu zao za rambirambi kufuatia kifo cha Waziri Mkuu wa zamani Bob Hawke, aliyefariki akiwa na umri wa miaka 89.

Former prime minister Bob Hawke.
Former prime minister Bob Hawke. Source: AAP

Waziri huyo wa Labor aliyedumu uongozini kwa miaka mingi, aliiongoza Australia kutoka 1983 hadi 1991, alifariki nyumbani kwake mjini Sydney siku ya Alhamisi.

Katika maelezo yake, mkewe Blanche d'Alpuget alesema "Leo tumempoteza Bob Hawke, Muastralia muhimu - wengi wangesema, Muastralia muhimu wa zama za vita vilivyopita".


1 min read

Published

Updated

By Frank Mtao

Presented by Frank Mtao

Source: SBS News




Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now