Japan yaomboleza mauaji yaki katili ya waziri mkuu wao wa zamani

Taarifa ya kifo cha Waziri Mkuu wa zamani wa Japan, Shinzo Abe, zimepokewa kwa mshangao mkubwa nchini Japan na kimataifa.

Ο Σίνζο Άμπε παρέδιδε ομιλία στην πόλη Νάρα λίγα λεπτά πριν δεχθεί τη μοιράια σφαίρα που του κόστισε τη ζωή.

Ο Σίνζο Άμπε παρέδιδε ομιλία στην πόλη Νάρα λίγα λεπτά πριν δεχθεί τη μοιράια σφαίρα που του κόστισε τη ζωή. Source: AAP Image/The Yomiuri Shimbun via AP Images

Marehemu Abe alipigwa risasi alipokuwa katika wilaya ya Nara, Japan kwenye kampeni ya uchaguzi. Anaye shukiwa kutekeleza mauaji hayo, alikamatwa mara moja na vyombo vya usalama katika eneo la tukio.

Maafisa wa usalama wamkamata mshukiwa wa shambulizi dhidi ya waziri mkuu wa zamani wa Japan Shinzo Abe.
Maafisa wa usalama wamkamata mshukiwa wa shambulizi dhidi ya waziri mkuu wa zamani wa Japan Shinzo Abe. Source: The Asahi Shimbun via Getty Images
Imeripotiwa na mashirika ya habari kutoka Japan kuwa, Bw Abe alikimbizwa hospitalini kwa helikopta ambako, licha ya juhudi kubwa zamadaktari kifo cha Bw Abe kiliripotiwa masaa machache baadae.

Viongozi na wakimataifa wameungana na raia wa Japan kutoa salamu zao za rambi rambi.


Share

Published

Updated

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: Reuters, SBS

Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service