Je! Mazoezi na michezo yana umuhimu gani wakati wa janga?

Watu hufanya mazoezi kwa sababu zinazo tofautiana kote nchini Australia.

Tangazo la kufungwa kwa sehemu ya watoto kuchezea nje, wakati wa janga la UVIKO-19.

Tangazo la kufungwa kwa sehemu ya watoto kuchezea nje, wakati wa janga la UVIKO-19. Source: AAP

Baadhi yao hufanya mazoezi kwa sababu wame agizwa na wataalam wa afya, wengine kwa sababu hufurahia kufanya mazoezi mara kwa mara.

Sehemu zakufanyia mazoezi zilifungwa wakati wa kilele cha janga la UVIKO-19.
Sehemu zakufanyia mazoezi zilifungwa wakati wa kilele cha janga la UVIKO-19. Source: SBS

Wakati wa kilele cha janga la UVIKO-19, vizuizi ambavyo mamlaka waliweka kwa ajili yakudhibiti usambaaji wa virusi vya corona, vilifanya iwe vigumu kwa watu kuendelea kufanya mazoezi binafsi, na katika makundi kama ilivyokuwa mazoea yao.

Image

Katika mazungumzo na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, Mwenyekiti wa Jamii yawatanzania wanao ishi jimboni NSW Frank Mtao alisema," Michezo ni mhimu kwa kuwasaidia watu kudumisha afya njema, michezo husaidia watu kupata marafiki pamoja na kuimarisha mahusiano kati ya watu na jamii mbali mbali.

Je! kuto fanya mazoezi wakati wa janga la UVIKO-19 kuli kuathiri aje?


Share

Published

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS Swahili

Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Je! Mazoezi na michezo yana umuhimu gani wakati wa janga? | SBS Swahili