Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Maabara kubwa ya madawa ya kulevya inaweza kuhusishwa na vifo vya kwenye tamasha

Polisi New South Wales, wamemfungulia mashtaka mtu mmoja na kuvunjilia mbali maabara kubwa ya madawa ya kulevya ambayo huenda ikahusishwa na vifo vya watu wawili vilivyotokea kwenye tamasha la mziki mjini Sydney.

The rural property on Calf Farm Road at Mt Hunter.
The rural property on Calf Farm Road at Mt Hunter. Source: SBS News

Polisi New South Wales wamevunja maabara kubwa ya madawa ya kulevya huko Sydney kusini-magharibi na wamefanikiwa kukamata madawa ya kulevya yenye thamani ya milioni 5.2.

Mwanamume mwenye umri wa miaka 39 ameshtakiwa kwa makosa kadhaa ya madawa ya kulevya na amewekwa kizuizini baada ya kukataliwa dhamana.

Kamishna Msaidizi wa Polisi wa NSW Stuart Smith amesema, polisi wanachunguza ikiwa maabara ilitengeneza madawa ya kulevya ambayo yalisababisha vifo viwili kwenye tamasha la muziki la Defqon.1 mnamo Septemba.


1 min read

Published

Updated

By Frank Mtao

Presented by Frank Mtao



Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now