Seneta wa Liberal kutotaja majina ya wanaodhihaki

Seneta wa Liberal Lucy Gichuhi, hatotaja majina ya watu wanaodhihaki katika chama chake baada ya kuongea na Waziri Mkuu Scott Morrison

Senator Lucy Gichuhi

Senator Lucy Gichuhi. Source: SBS News

Seneta huyo wa chama cha Libera Lucy Gichuhi, ameghaili kusudio lake pale alipotishia kutaja majina ya viongozi wenzake wanaodhihaki wenzao katika chama chao baada ya kuongea na Waziri Mkuu Scott Morrison. 

Seneta huyo wa Australia Kusini, alitishia kutumia nafasi yake bungeni kutaja hadharani wenzake wenye tuhuma za kudhihaki na kunyanyasa wengine wakati wa patashika ya Uongozi wa chama hicho mwezi uliopita.

Lakini msemaji wa Seneta Gichuhi aliliambia shirika la habari la AAP kuwa, amemuachia Waziri Mkuu kulifanyia kazi swala hilo, hivyo hataweza kuwataja wanaotuhumiwa kudhihaki.


Share

1 min read

Published

By Frank Mtao

Presented by Frank Mtao

Source: AAP



Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service