Martha Koome Hakimu Mkuu wa Kenya, atoa uamuzi wa Mahakama ya Upeo kwa ombi lakubatilisha matokeo ya uchaguzi wa urais wa Kenya.jpg
Martha Koome Hakimu Mkuu wa Kenya, atoa uamuzi wa Mahakama ya Upeo kwa ombi lakubatilisha matokeo ya uchaguzi wa urais wa Kenya.jpg
This article is more than 3 years old

Breaking

Mahakama ya Upeo yaidhinisha ushindi wa Dr William Ruto

Wakenya kote duniani, wamejumuika mbele ya runinga, simu za mkono, ndani na nje ya Kenya kusikiza uamuzi wa mahakama ya upeo kwa ombi lakubatilisha ushindi wa Dr William Ruto.

Published

Updated

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS
Kwa maoni ya mahakama ya upeo, kesi tisa zalizizo wasilishwa ndani ya mahakama hiyo zilikuwa na hoja sawa.

Mahakama ya Upeo yatoa uamuzi kwa ombi lakubatilisha matokeo ya uchaguzi ya urais wa Kenya.jpg
Hakimu Mkuu wa Kenya Bi Martha Koome, alisoma mukhtasari wa uamuzi wa Mahakama ya Upeo nakutoa sababu za kila uamuzi ambao mahakama hiyo ilifikia.

Mahakama ya Upeo imeridhika kuwa, hakuna ushahidi wakutosha kuwa tume huru ya uchaguzi ya Kenya (IEBC), haikutekeleza wajibu wake kikatiba. Kwa hiyo hakuna sababu ya mahakama hiyo kubatilisha ushindi wa Dr William Ruto.
Dr William Ruto (kulia), Rais Mteule wa Kenya.jpg

Dr Ruto hajawahi poteza uchaguzi wowote alio wania katika maisha yake yakisiasa. Kufuatia uamuzi wa mahakama ya upeo, Dr William Ruto ata apishwa rasmi kuwa Rais wa tano wa Kenya tarehe 13 Septemba 2022.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service