Mahakama yapata uamuzi wa Johnson, kufunga bunge haukuwa halali

Mahakama kuu ya Uingereza, imeamuru kuwa, uamuzi wa waziri mkuu Boris Johnson kufunga bunge ya nchi hiyo haukuwa halali.

Wanaharakati wanao pinga Brexit, waandamana nje ya bunge ya Uingereza

Wanaharakati wanao pinga Brexit, waandamana nje ya bunge ya Uingereza Source: AAP

Mahakama hiyo imeamuru kuwa, waziri mkuu Boris Johnson, alichukua hatua isiyo halali kumpa ushauri wakufunga bunge Malkia Elizabeth, wiki chache kabla ya Uingereza kujiondoa katika muungano wa ulaya maarufu kama 'Brexit', kwa hiyo hatua yake yakufunga bunge ilikuwa batili raisi wa mahakama kuu alisema katika hukumu yake. Image

Bunge ya Uingereza itaanza vikao tena katika masaa 24 yajayo, wakati wito wa Bw Johnson kujiuzulu unaendelea kuongezeka.


Share

Published

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano

Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service