Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mahakama yapata uamuzi wa Johnson, kufunga bunge haukuwa halali

Mahakama kuu ya Uingereza, imeamuru kuwa, uamuzi wa waziri mkuu Boris Johnson kufunga bunge ya nchi hiyo haukuwa halali.

Wanaharakati wanao pinga Brexit, waandamana nje ya bunge ya Uingereza
Wanaharakati wanao pinga Brexit, waandamana nje ya bunge ya Uingereza Source: AAP
Mahakama hiyo imeamuru kuwa, waziri mkuu Boris Johnson, alichukua hatua isiyo halali kumpa ushauri wakufunga bunge Malkia Elizabeth, wiki chache kabla ya Uingereza kujiondoa katika muungano wa ulaya maarufu kama 'Brexit', kwa hiyo hatua yake yakufunga bunge ilikuwa batili raisi wa mahakama kuu alisema katika hukumu yake. Image

Bunge ya Uingereza itaanza vikao tena katika masaa 24 yajayo, wakati wito wa Bw Johnson kujiuzulu unaendelea kuongezeka.


1 min read

Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano


Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now