Mahakama hiyo imeamuru kuwa, waziri mkuu Boris Johnson, alichukua hatua isiyo halali kumpa ushauri wakufunga bunge Malkia Elizabeth, wiki chache kabla ya Uingereza kujiondoa katika muungano wa ulaya maarufu kama 'Brexit', kwa hiyo hatua yake yakufunga bunge ilikuwa batili raisi wa mahakama kuu alisema katika hukumu yake. Image
Mahakama yapata uamuzi wa Johnson, kufunga bunge haukuwa halali
Mahakama kuu ya Uingereza, imeamuru kuwa, uamuzi wa waziri mkuu Boris Johnson kufunga bunge ya nchi hiyo haukuwa halali.

Wanaharakati wanao pinga Brexit, waandamana nje ya bunge ya Uingereza Source: AAP
Share
Published
By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Share this with family and friends