Queen Elizabeth II.jpg
Queen Elizabeth II.jpg
This article is more than 3 years old

Breaking

Malkia Elizabeth II aaga dunia

Taarifa ambazo zimetufikia nikwamba, Malkia aliye hudumu kwa muda mrefu zaidi Malkia Elizabeth ll, ame aga dunia katika makazi yake binafsi ya Balmoral, Uskoti.

Published

Updated

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS
Image: Queen Elizabeth II has died at age 96.
Malkia Elizabeth ll alirithi wadhifa huo akiwa na miaka 25, punde baada ya babake kuaga dunia. Wakati huo Malkia Elizabeth ll alikuwa katika ziara nchini Kenya katika hoteli ya Treetops ambayo ilikuwa katika mbuga yakitaifa ya Aberdare pamoja na mumewe Prince Philip.

Miezi michache baada yakuwa Malkia, waafrika walipigwa marufuku kuingia katika kanda nzima ya Aberdares, na amri ilitolewa kwa wanajeshi wawapige risasi waafrika wakiwaona katika eneo hilo. Ina aminika kuwa wapiganaji wa uhuru wa Mau Mau, waliteketeza kwa moto hoteli ya Treetops 27 Mei 1954.

Malkia Elizabeth ll ame aga dunia akiwa na miaka 96. Mwanawe wa kwanza Prince Charles atarithi kiti chake cha enzi, nakupewa cheo cha Mfalme wa Uingereza pamoja na nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service