Latest

Matildas waipa taifa raha

Wapenzi wa mpira wa miguu wa wanawake, wame wasili katika viwanja vya michezo kushuhudia mechi ya kwanza ya kombe la dunia ya FIFA.

Opening match of the FIFA Women's World Cup in Sydney, Australia

Australia Australian Squad celebrates the goal that Steph CATLEY has scored as result of a penalty at the 52 of the match in the inaugurals FIFA WWC 2023 in the Stadium Australia Credit: Sports Press Photo/Sipa USA/AAP Image

Katika mechi ya kwanza ya kombe la dunia la FIFA ya wanawake, wenyeji New Zealand walishinda mechi yao dhidi ya Norway kwa goli moja kwa sufuri.

Muda mfupi baadae wenyeji wenza wa kombe hilo Australia, waliwakaribisha Ireland dimbani mjini Sydney na katika dakika ya 52 uwanja huo na taifa lili lipuka kwa sherehe baada ya Stephanie Catley kufunga goli la kwanza na lapekee katika mechi hiyo kupitia mkwaju wa penati.

Katika kundi mechi ya pili ya kundi B Nigeria na Canada walimaliza mechi hiyo kwa sare ya kutofungana licha ya timu zote kuwa na fursa nyingi zakufunga goli.

Tuta kuletea matokeo ya mechi zingine punde tutakapo yapata.


Share

Published

Updated

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS

Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Matildas waipa taifa raha | SBS Swahili