Pele
Pele
This article is more than 2 years old

Breaking

Mfalme wa soka Pelé aaga dunia

Wapenzi wa soka pamoja na viongozi wamataifa kote duniani, wame ungana kutuma salamu zao kwa familia ya Mfalme wa soka Pelé, baada ya taarifa za kifo chake kuchapishwa.

Published

Updated

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS
Image: Pelé portato in trionfo dopo il successo per 4-1 sull'Italia nella finale Mondiale del 1970 (AAP)
Pelé ambaye jina lake kamili lilikuwa ni Edson Arantes do Nascimento, alikuwa akipokea matibabu ya saratani nchini Brazil na imeripotiwa kuwa aliaga dunia akiwa amezungukwa na familia yake.

Pelé ndiye mchezaji pekee duniani, kuwahi kushinda kombe la dunia akiwa na umri mdogo wa miaka 17. Alishinda kome la dunia mara tatu, miongoni mwa taji zingine alizoshinda katika soka.
Pele in Doha.jpg
Picture shows a statue of Brazilian football legend Pele in Doha on December 6, 2022, during the Qatar 2022 World Cup football tournament.
Licha ya vilabu vingi kuhitaji huduma zake barani ulaya, serikali ya Brazil ilimpiga marufuku Pelé kucheza nje ya nchi hiyo.

Pelé ame aga dunia akiwa na miaka 82.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service