Feature

Morocco wafeli mtihani wa Ufaransa

Timu ya mpira wa miguu yawanaume kutoka Morocco, ilijiandikia historia kwa kuwa nchi ya kwanza kutoka Afrika kufuzu kwa nusu fainali ya kombe la dunia la FIFA.

France v Morocco - FIFA World Cup 2022 - Semi Final - Al Bayt Stadium

France's Randal Kolo Muani scores their side's second goal of the game during the FIFA World Cup Semi-Final match at the Al Bayt Stadium in Al Khor, Qatar. Picture date: Wednesday December 14, 2022.. See PA story WORLDCUP France. Photo credit should read: Adam Davy/PA Wire. RESTRICTIONS: Use subject to restrictions. Editorial use only, no commercial use without prior consent from rights holder. Credit: Adam Davy/PA/Alamy

Morocco ili ingia katika mechi ya nusu fainali dhidi ya bingwa watetezi Ufaransa ikiwa imebeba matumaini yama milioni yamashabiki kutoka barani Afrika, uarabuni na hata waumini wa dini laki Islamu kote duniani.

Licha yakumiliki mpira kwa sehemu kubwa ya mechi hiyo, bahati ili tabasamu kwa upande wa wafaransa ambao walifanikiwa kufunga goli mbili zilizowapa ushindi.

Muda mfupi baada ya mechi hiyo kuisha, Morocco ilimiminiwa jumbe zapongezi kutoka sehemu zote za dunia, na hata kutoka kwa Rais wa Ufaransa aliye watembelea wachezaji ndani ya chumba chao chakubadilishia nguo kuwapongeza kwa juhudi zao.

Hongera Morocco kwa kuwakilisha Afrika vyema.

Share

Published

Updated

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS

Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service