SKIP TO MAIN CONTENT

Morocco wafeli mtihani wa Ufaransa

Timu ya mpira wa miguu yawanaume kutoka Morocco, ilijiandikia historia kwa kuwa nchi ya kwanza kutoka Afrika kufuzu kwa nusu fainali ya kombe la dunia la FIFA.

France WCup Soccer
France's Kylian Mbappe (10) exercises with his team during a training session ahead of the World Cup quarterfinal soccer match between France and Morocco in Waltham, Mass., near Boston, Wednesday, July 8, 2026. (AP Photo/Martin Meissner) Source: AP / Adam Davy/PA/Alamy

1 min read

Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Skip to article content

Morocco ili ingia katika mechi ya nusu fainali dhidi ya bingwa watetezi Ufaransa ikiwa imebeba matumaini yama milioni yamashabiki kutoka barani Afrika, uarabuni na hata waumini wa dini laki Islamu kote duniani.

Licha yakumiliki mpira kwa sehemu kubwa ya mechi hiyo, bahati ili tabasamu kwa upande wa wafaransa ambao walifanikiwa kufunga goli mbili zilizowapa ushindi.

Muda mfupi baada ya mechi hiyo kuisha, Morocco ilimiminiwa jumbe zapongezi kutoka sehemu zote za dunia, na hata kutoka kwa Rais wa Ufaransa aliye watembelea wachezaji ndani ya chumba chao chakubadilishia nguo kuwapongeza kwa juhudi zao.

Hongera Morocco kwa kuwakilisha Afrika vyema.


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now