Raila amchagua Martha Karua kuwa mgombea mwenza katika uchaguzi mkuu

Mgombea wa mrengo wa Azimio One Kenya Alliance Raila Odinga ametengeza historia kwa kumchagua Martha Karua kuwa mgombea mwenza wa kwanza wa kike nchini Kenya.

Raila Odinga (kushoto) na mgombea mwenza Martha Karua (kulia) wakiwa kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu.

Raila Odinga (kushoto) na mgombea mwenza Martha Karua (kulia) wakiwa kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu. Source: Martha Karua

Kiwango cha joto la siasa nchini Kenya kimeongezeka baada ya mrengo wa Azimio One Kenya Alliance kufanya tangazo ambalo limetikisa taifa hilo la Afrika Mashariki.

Katika hotuba yake, kinara wa mrengo huo Mhe Raila Odinga alisema lazima pawe usawa wa jinsia na kwa sababu hiyo, amemteua kiongozi wa chama cha NARC Kenya, Martha Karua kuwa mgombea mwenza katika uchaguzi mkuu baadae mwaka huu.

Idhaa ya Kiswahili ya SBS, itakuletea taarifa zaidi kuhusu uteuzi huo punde tutakapo pata taarifa hizo.


Share

Published

Updated

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS Swahili

Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service