Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Raila apoteza kura ya uenyekiti wa AU

Viongozi wa mataifa ya Afrika wali tua mjini Addis Ababa, Jumamosi 15 Februari 2025 kumchagua kiongozi mpya wa Muungano wa Afrika (AU).

Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Mh Raila A Odinga
Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Mh Raila A Odinga Credit: Raila A Odinga

Viongozi hao walikuwa na jukumu la kuchagua kati ya Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya nje wa Madagascar Richard Randriamandrato, na Waziri wa Mambo ya Nje wa Djibouti, Mahmoud Ali Youssouf.

Matarajio ya Raila Odinga kushinda wadhifa huo yalipokea pigo kupitia barua ya katibu mkuu wa SADC, iliyo tangaza kuwa nchi wanachama wa muungano huo watampigia kura mwanachama wao kutoka Madagascar, Richard Randriamandrato.

Tangazo hilo lili maanisha Bw na Raila na Bw Mahmoud, walikuwa wamepoteza kura walizo tarajia kutoka wanachama wa SADC.

Baada ya raundi kadhaa za kura, Waziri wa Mambo ya Nje wa Djibouti, Mahmoud Ali Youssouf ili ibuka mshinidi wa uchaguzi huo na ata hudumu kwa miaka minne ijayo.


1 min read

Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now