Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Raila Odinga
Raila Odinga
This article is more than 3 years old

Breaking

Raila: "Hatuta kubali mtu mmoja ajiribu kubadili yale ambayo wakenya wame amua"

Kinara wa mrengo wa Azimio One Kenya, Raila Odinga amepinga matokeo ya uchaguzi wa rais wa Kenya yaliyo tangazwa na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi.

Published

Updated

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS
Image: epa10101629 Kenya’s Azimio la Umoja (Declaration of Unity) political coalition presidential candidate and Kenya’s opposition leader Raila Odinga, addresses a crowd of their supporters at a political rally in Kirigiti stadium, Kiambu, Kenya, 01 August 2022. (EPA / AAP Image/DANIEL IRUNGU/EPA)

Alipo hotubia umati wa wanachama wa mrengo wa Azimio One Kenya, Bw Odinga aliweka wazi sababu zaku pinga tangazo la mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Kenya IEBC.

Raila Odinga, kinara wa Azimio One Kenya apinga matokeo ya uchaguzi mkuu.jpg

Akisimama bega kwa bega na mgombea wake mwenza Martha Karua, pamoja na kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka, Bw Odinga alisisitiza kuwa mrengo wake wa Azimio, utatumia kila mbinu yaki katiba na sheria kupata suluhu kwa azma yao.

Bw Odinga, aliwaomba wakenya pia wadumishe amani na utulivu, pamoja naku wahakikishia wafuasi wake kuwa, hata kubali mtu mmoja ajaribu kubadili maamuzi ya wakenya.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now