SKIP TO MAIN CONTENT
Kenyan parliament set on fire after Nairobi anti-tax protests turn violent

This article is more than 2 years old

Ruto "tuta tumia rasilimali zote kuhakikisha matukio ya leo haya jirudii"

Maandamano ya vijana dhidi ya muswada wa fedha wa 2024, nchini Kenya yame chukua mkondo hasi.

Badala ya utulivu na maandamano ya amani yaliyo shuhudiwa wiki iliyopita, vurugu na milio ya risasi vilitawala mitaa ya miji kadhaa ya Kenya.

Protesters rally against tax hikes in Nairobi
A group of men carries a wounded demonstrator near the Parliament during a protest against tax hikes in Nairobi, Kenya, 25 June 2024. Source: EPA / Daniel Irungu/EPA/AAP Image

Kufikia sasa taarifa tulizo pokea ni kwamba watu 10 wamefariki na mamia kujeruhiwa.

Kenyan President Ruto addresses the nation after Nairobi anti-tax protests turn violent
Kenyan President William Ruto speaks during his state of the nation address after protests against tax hikes, at State House in Nairobi, Kenya, 25 June 2024. Source: EPA / Daniel Irungu/EPA/AAP Image

Alipo hotubia taifa usiku wakuamkia leo, Rais Ruto ali laani matukio yaliyo shuhudiwa naku ahidi kuwa serikali "itatumia rasilimali zote inazo kudumisha usalama naku hakikisha matukio yaliyo sababisha bunge la taifa kuvamiwa na sehemu yake kuchomwa moto haya rudiwi.

Tuta kuletea taarifa zaidi punde tutakapo zipokea.


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now