Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Rutto na Raila waingia rasmi katika ndoa ya kisiasa

Rais wa Kenya Dkt William Ruto na Kinara wa Upinzani nchini humo Raila Odiga, hatimae wame thibitisha uvumi kuhusu wawili hao kushirikiana katika uongozi wa taifa hilo.

Raila Odinga na William Rutto wakubaliana rasmi kuchangia uongozi.jpg

Kwa miezi kadhaa chama cha Raila Odinga, ODM kili sisitiza kuwa hakiko serikalini wala hakina ushirikiano wowote na serikali ya Dkt Rutto.

Rais Rutto na Raila Odinga wakiwa pamoja na washirika wao, katika hafla ya kutia saini makubaliano ya kuchangia uongozi.jpg

Madai hayo yali tolewa licha ya chama hicho kuwapa baraka viongozi wake wanne kuwa mawaziri katika serikali ya Kenya Kwanza.

Rais Rutto na Bw Odinga waliwasili katika ukumbi wa KICC, kutia saini makubaliano ya ushirikiano kati ya serikali ya Kenya Kwanza na chama cha upinzani cha ODM.

Raila Odinga na Rais Rutto na washirika wao, wa wasili katika ukumbi wa KICC, Nairobi, Kenya.jpg

Tukio hilo limepokewa kwa hisia mseto katika taifa hilo la Afrika Mashariki, wachambuzi na raia wakijumuika katika mitandao yakijamii kuchangia maoni yao.


1 min read

Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now