Seneta Lucy Gichuhi ajiunga na serikali ya Turnbull

Seneta wa Kusini Australia Lucy Gichuhi amejiunga na chama cha Liberal Party.

Seneta mpya wa Kusini Australia, Lucy Gichuhi akiapishwa ndani ya Seneti ya taifa mjini Canberra, Australia Jumanne 9Mei2017

Seneta mpya wa Kusini Australia, Lucy Gichuhi akiapishwa ndani ya Seneti ya taifa mjini Canberra, Australia Jumanne 9Mei2017 Source: Picha: AAP/Mick Tsikas

Waziri Mkuu Malcolm Turnbull amethibitisha taarifa hiyo akiwa pamoja na Seneta Gichuhi kupitia video iliyo chapishwa kwenye ukurasa wake wa Twitter.

Katika video hiyo, Bw Turnbull ame mweleza Seneta Gichuhi ambaye ni mzawa wa Kenya kwamba:

"Lucy, hadithi ya maisho yako inatia moyo, ni hadithi yakujituma, kufanya kazi kwa bidii na uhuru. Na maadili yako niyaki Liberal."

Kwa upande wake, Seneta Gichuhi alimjibu waziri mkuu kwamba:

"Ndio, siku gundua hali hiyo hadi nilipo toa hotuba yangu ya kwanza. Nili fikiri, 'Wow - siwezi amini jinsi nilivyo mliberal kimsingii, na nadhani hali hiyo ina nisaidia kuwahudumia watu wa Kusini Australian." Image

Ujio wa Seneta Gichuhi ni taarifa nzuri kwa serikali ya mseto, hali ambayo ina piga jeki idadi ya kura ndani ya seneti hadi 30.

Hatua hiyo imerejeshea serikali ya mseto idadi ya viti ilivyo poteza katika nyumba ya juu bungeni, kabla Cory Bernardi ahame kutoka chama tawala.


Share

Published

By Louise Cheer
Presented by SBS Swahili
Source: SBS World News

Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Seneta Lucy Gichuhi ajiunga na serikali ya Turnbull | SBS Swahili