Trump na Kim wapeana mikono katika mkutano wa kihistoria nchini Singapore

Trump na Kim wamefanya historia ya kupeana mikono katika mwanzo wa mkutano wao nchini Singapore. Ni mara ya kwanza, kwa Raisi wa Marekani kukutana na Kiongozi wa Korea Kaskazini.

Kim Jong-un and Donald Trump

Donald Trump and Kim Jong-un are expected to talk privately for 45 minutes. (AAP) Source: AAP

Donald Trump na Kim Jong-un wamepeana salamu nzuri na kupeana mikono wakati wakati wakijiandaa kuanza kwa mkutano utakaoshughulikia masuala ya muda mrefu ya nyuklia na kumaliza chuki iliyokuwa ikiwarudisha kwenye vita baridi.

Wawili hao, walishikana mikono chini ya ukuta wa Hotel hapo Singapore, kabla ya kukaa kwa kikao cha nusu siku kitakacholeta malengo makubwa kwa kanda hizo na dunia kwa ujumla.
Kim Jong-un and Donald Trump during their bilateral meeting
Australian leaders hope there will be progress made at the summit between North Korea and the US. (AAP) Source: AAP
Huu ni mkutano wa kwanza kabisa kuwahi kufanyika kati ya vinara wakubwa wa masuala ya nyuklia na ulikuwa haufikiri kutokea miezi michache iliyopita wakati hofu ilipotanda ya kutokea kwa vita vilivyosababishwa na majaribio ya nyuklia na mabishano kati ya pande mbili.

Wawili hao walishikana mikono kwa sekunde kadhaa, huku Trump akionekana kumsogelea Kiongozi wa Korea Kaskazini na kumgusa bega lake la upande wa kuli.


Share

1 min read

Published

Updated

By Natasha Christian

Presented by Frank Mtao

Source: AFP, SBS




Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service