Asilimia 52% ya raia wa Uingereza wamepiga kura yakusitisha uanachama wa Uingereza ndani ya EU uliodumu miaka 43.
Image
Watu wanaoishi katika mji London na Scotland ndio waliopiga kura kwa wingi kusalia ndani ya muungano huo, hata hivyo
Sarafu ya Euro imepanda katika masoko ya fedha huku Paundi ya Uingereza ikiendelea kuporomoka na sasa faranga ya Ufaransa ina thamani kuliko paundi ya Uingereza.

Punde baada ya matokeo kamili kutangazwa, Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron aliyekuwa akiongoza kampeni ya kura yakusalia ndani ya muungano wa EU, alishukuru taifa kwaku shiriki katika kura hiyo pamoja nakutangaza kwamba ana jiuzulu.

Share

