Makamishna wanne wa tume ya uchaguzi ya IEBC ya Kenya, wasusia tangazo la mshindi wa wadhifa wa urais.jpg
Makamishna wanne wa tume ya uchaguzi ya IEBC ya Kenya, wasusia tangazo la mshindi wa wadhifa wa urais.jpg
This article is more than 3 years old

Breaking

Vurugu yaibuka ndani ya ukumbi wa tangazo la urais wa Kenya

Katika hatua yakushtukiza, makamishna wanne wa tume ya uchaguzi ya Kenya, wame tangaza kuwa hawataki kuhusishwa na tangazo la mshindi wa kura ya urais.

Published

Updated

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS
Wakati makamishna hao walikuwa waki hotubia waandishi wa habari, ndani ya ukumbi wa Bomas baadhi ya viongozi wa mrengo wa Azimio One Kenya walivamia sehemu ambako sehemu ambako mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Bw Chebukati alikuwa ameketi pamoja na viongozi wengine nakuzua rabsha.

Vurugu yaibuka ndani ya ukumbi wa Bomas kabla ya tangazo la mshindi wa wadhifa wa urais wa Kenya.jpg
Vyombo vya ulinzi vilimuondoa haraka Bw Chebukati katika sehemu hiyo nakuanza kuwatawanya walio vamia eneo hilo.

SBS Swahili itakupa taarifa zaidi kuhusu tukio hili punde tutakapo zipata.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service