Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wa Australia waingia debeni kutoa hukumu kwa vyama vyakisiasa

Wa kaaji wa Australia wame shuhudia kampeni za uchaguzi mkuu zilizo dumu kwa takriban wiki sita vyama vikubwa kwa vidogo vikiuza sera zao kila siku kwa kina.

Waziri Mkuu Scott Morrison (kushoto) na Kiongozi wa Upinzani Anthony Albanese wanasubiri hukumu ya wapiga kura kote nchini.
Waziri Mkuu Scott Morrison (kushoto) na Kiongozi wa Upinzani Anthony Albanese wanasubiri hukumu ya wapiga kura kote nchini. Source: SBS

Viongozi wa vyama vikubwa walikabiliana katika mijadala ya uchaguzi mkuu, ambako kila mmoja wao alitangazwa mshindi wa mjadala huo, ila hukumu halisi ni ile ambayo inatolewa na wapiga kura katika vituo mbali mbali vyakupigia kura kote nchini.

Waziri Mkuu Scott Morrison, akiwa katika kampeni ya uchaguzi mkuu
Waziri Mkuu Scott Morrison, akiwa katika kampeni ya uchaguzi mkuu. Source: AAP

Waziri Mkuu Scott Morrisson amesisitiza kuwa yeye ndiye chaguo bora, lakuendelea kuongoza taifa katika wakati huu ambao Australia inaendelea kukabiliana na changamoto mbalimbali.

Image

Hata hivyo, Kiongozi wa Upinzani Anthony Albanese, amesisitiza kuwa chama cha Labor ndicho chenye sera na nia halisi yakubalisha maisha ya wananchi wote.

Idhaa ya Kiswahili ya SBS itachapisha matokeo ya uchaguzi mkuu punde tutakapo yapata.


1 min read

Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS Swahili



Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now