Wa Australia waingia debeni kutoa hukumu kwa vyama vyakisiasa

Wa kaaji wa Australia wame shuhudia kampeni za uchaguzi mkuu zilizo dumu kwa takriban wiki sita vyama vikubwa kwa vidogo vikiuza sera zao kila siku kwa kina.

Waziri Mkuu Scott Morrison (kushoto) na Kiongozi wa Upinzani Anthony Albanese wanasubiri hukumu ya wapiga kura kote nchini.

Waziri Mkuu Scott Morrison (kushoto) na Kiongozi wa Upinzani Anthony Albanese wanasubiri hukumu ya wapiga kura kote nchini. Source: SBS

Viongozi wa vyama vikubwa walikabiliana katika mijadala ya uchaguzi mkuu, ambako kila mmoja wao alitangazwa mshindi wa mjadala huo, ila hukumu halisi ni ile ambayo inatolewa na wapiga kura katika vituo mbali mbali vyakupigia kura kote nchini.

Waziri Mkuu Scott Morrison, akiwa katika kampeni ya uchaguzi mkuu
Waziri Mkuu Scott Morrison, akiwa katika kampeni ya uchaguzi mkuu. Source: AAP

Waziri Mkuu Scott Morrisson amesisitiza kuwa yeye ndiye chaguo bora, lakuendelea kuongoza taifa katika wakati huu ambao Australia inaendelea kukabiliana na changamoto mbalimbali.

Image

Hata hivyo, Kiongozi wa Upinzani Anthony Albanese, amesisitiza kuwa chama cha Labor ndicho chenye sera na nia halisi yakubalisha maisha ya wananchi wote.

Idhaa ya Kiswahili ya SBS itachapisha matokeo ya uchaguzi mkuu punde tutakapo yapata.


Share

Published

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS Swahili

Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Wa Australia waingia debeni kutoa hukumu kwa vyama vyakisiasa | SBS Swahili