Wagombea wa uchaguzi mkuu wa Kenya wasubiri hukumu ya raia
Vituo vyakupiga kura vime fungwa na sasa wagombea wa nyadhifa mbali mbali katika uchaguzi mkuu wa Kenya wasubiri hukumu yao.
Wagombea wa wadhifa wa urais wa Kenya, Prof George Wajackoyah, David Mwaure, Dr William Ruto na Raila Odinga. Credit: AAp Image/John Ochieng/SOPA Images/Sipa USA