Wanamgambo washambulia bunge ya Marekani

Demokrasia ya Marekani imetikiswa nakupokea pigo kubwa, baada ya waandamanaji kuvamia bunge kwa vurugu.

Waandamanaji ndani ya bunge marekani

Waandamanaji wavamia kikao cha pamoja ndani ya bunge ya marekani mjini Washington, DC Jumatano, Januari 6, 2021 Source: Chris Kleponis/Sipa USA

Wabunge namaseneta walikuwa katika kikao cha pamoja ndani ya bunge mjini Washington DC, wakati waandamanaji ambao kabla walikuwa wamehudhuria hotuba ya Rais Trump, kuondoa vizuizi vilivyo wekwa na polisi, kuvunja madirisha nakuvamia bunge la taifa.
A protester holds a Trump flag inside the US Capitol Building near the Senate Chamber.
A protester holds a Trump flag inside the US Capitol Building near the Senate Chamber. Source: Getty Images
Imeripotiwa kuwa watu 4 wamefariki kupitia maandamano hayo, mwanamke mmoja kati yao akifa kupitia majeraha aliyo pata baada yakufyatuliwa risasi na vyombo vya usalama.

Masaa machache baada ya maandamano hayo kudhibitiwa na vyombo vya usalama, vikao vilianza tena.

Tuta waletea taarifa zaidi punde tutakapo zipokea.

 


Share

Published

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS Swahili

Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Wanamgambo washambulia bunge ya Marekani | SBS Swahili