Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

WhatsApp yawaweka pabaya watumiaji

App maarufu yamawasiliano WhatsApp, imeacha kutumika nakuwaacha mamilioni yawatumiaji kote duniani katika hali ya sintofahamu.

WhatsApp
WhatsApp Source: AAP, EPA / AAP Image/EPA/HAYOUNG JEON

Watumiaji wa WhatsApp katika nchi kama France, India, Australia na Uingereza ni miongoni mwa wateja ambao wanakabiliana na changamoto zakutumia App hiyo.

"Tunafahamu baadhi ya watu kwa sasa wanakabiliwa kwa wakati mgumu, kutuma nakupokea ujumbe na tunafanya tuwezavyo kurejesha matumizi ya WhatsApp kwa kila mtu haraka iwezekanavyo", kampuni mzazi ya WhatsApp, Meta Platforms imenukuliwa katika maandishi.

WhatsApp ina zaidi ya wateja bilioni mbili, katika zaidi ya nchi mia moja themanini (180) kote duniani.


1 min read

Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now