Breaking

WhatsApp yawaweka pabaya watumiaji

App maarufu yamawasiliano WhatsApp, imeacha kutumika nakuwaacha mamilioni yawatumiaji kote duniani katika hali ya sintofahamu.

WhatsApp

WhatsApp Source: AAP, EPA / AAP Image/EPA/HAYOUNG JEON

Watumiaji wa WhatsApp katika nchi kama France, India, Australia na Uingereza ni miongoni mwa wateja ambao wanakabiliana na changamoto zakutumia App hiyo.

"Tunafahamu baadhi ya watu kwa sasa wanakabiliwa kwa wakati mgumu, kutuma nakupokea ujumbe na tunafanya tuwezavyo kurejesha matumizi ya WhatsApp kwa kila mtu haraka iwezekanavyo", kampuni mzazi ya WhatsApp, Meta Platforms imenukuliwa katika maandishi.

WhatsApp ina zaidi ya wateja bilioni mbili, katika zaidi ya nchi mia moja themanini (180) kote duniani.

Share

Published

Updated

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS

Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service