Mtetezi wa uhuru wa Zimbabwe Mugabe aaga dunia

Kiongozi wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe amefariki,

Robert Mugabe speaking at his 92nd birthday party in 2016.

Robert Mugabe speaking at his 92nd birthday party in 2016. Source: AAP

Mugabe alikuwa na umri wa miaka 95.

Alifariki baada yaku kabiliana na magonjwa, familia yake imethibitishia chombo cha habari cha B-B-C.

Kiongozi huyo wa muda mrefu aliondolewa madarakani, kupitia mapinduzi yakijeshi katika mwaka wa 2017. Je Robert Mugabe, atakumbukwaje?


Share

Published

Updated

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano

Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service