Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mtetezi wa uhuru wa Zimbabwe Mugabe aaga dunia

Kiongozi wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe amefariki,

Robert Mugabe speaking at his 92nd birthday party in 2016.
Robert Mugabe speaking at his 92nd birthday party in 2016. Source: AAP

Mugabe alikuwa na umri wa miaka 95.

Alifariki baada yaku kabiliana na magonjwa, familia yake imethibitishia chombo cha habari cha B-B-C.

Kiongozi huyo wa muda mrefu aliondolewa madarakani, kupitia mapinduzi yakijeshi katika mwaka wa 2017. Je Robert Mugabe, atakumbukwaje?


1 min read

Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano



Share this with family and friends


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now