Kongamano la G7 la shuhudia mishangao michache, na makubaliano kidogo

Waziri Mkuu Scott Morrison katika mkutano wa G7, mjini Biarritz, France

Waziri Mkuu Scott Morrison katika mkutano wa G7, mjini Biarritz, France Source: AAP

Scott Morrison amekuwa katika shughuli katika mkutano wa G7 nchini Ufaransa, baada yaku alikwa katika mkutano huo kama mtazamaji.


Mazungumzo yake na viongozi kadhaa yali jiri katika mkutano wa G7, ulio jumuisha waziri wa maswala yakigeni wa Iran ambaye hakuwa ametarajiwa kuhudhuria mkutano huo, pamoja na dokezo kutoka rais wa marekani kuwa suluhu ya vita vya biashara dhidi ya China ina karibia patikana.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service