Scott Morrison amekuwa katika shughuli katika mkutano wa G7 nchini Ufaransa, baada yaku alikwa katika mkutano huo kama mtazamaji.
Mazungumzo yake na viongozi kadhaa yali jiri katika mkutano wa G7, ulio jumuisha waziri wa maswala yakigeni wa Iran ambaye hakuwa ametarajiwa kuhudhuria mkutano huo, pamoja na dokezo kutoka rais wa marekani kuwa suluhu ya vita vya biashara dhidi ya China ina karibia patikana.
Share






