Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Maoni ya Kijiolojia kuhusu jinsi ya kuingia kwenye madini

A Geologist Heri Issa Gombera with his team at mining site

Mhandisi Heri Issa Gombera amevaa koti la rangi ya bluu akiwa na timu yake kwenye maeneo ya madini Dodoma. Source: Heri image(facebook)

Kuanzisha biashara ya madini inaweza kuwa "mkanganyiko" hasa kwa uchimbaji wa migodi. Kuna mengi ya kuzingatia kabla ya kushiriki katika biashara hii vinginevyo utapoteza pesa nyingi.


Published

Updated

By Frank Mtao

Presented by Frank Mtao

Source: SBS



Share this with family and friends


Kuanzisha biashara ya madini inaweza kuwa "mkanganyiko" hasa kwa uchimbaji wa migodi. Kuna mengi ya kuzingatia kabla ya kushiriki katika biashara hii vinginevyo utapoteza pesa nyingi.


Mhandisi Heri Issa Gombera ambaye ni Kaimu Meneja wa Kitengo cha Utambuzi wa Miamba, Madini na Uchenjuaji Madini toka Taasisi ya Jiolojia na utafiti madini Tanzania (GST), anafafanua zaidi juu ya kile kinachohitajika ili kuingia kwenye uchimbaji madini.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now