Maoni ya Kijiolojia kuhusu jinsi ya kuingia kwenye madini

A Geologist Heri Issa Gombera with his team at mining site

Mhandisi Heri Issa Gombera amevaa koti la rangi ya bluu akiwa na timu yake kwenye maeneo ya madini Dodoma. Source: Heri image(facebook)

Kuanzisha biashara ya madini inaweza kuwa "mkanganyiko" hasa kwa uchimbaji wa migodi. Kuna mengi ya kuzingatia kabla ya kushiriki katika biashara hii vinginevyo utapoteza pesa nyingi.


Mhandisi Heri Issa Gombera ambaye ni Kaimu Meneja wa Kitengo cha Utambuzi wa Miamba, Madini na Uchenjuaji Madini toka Taasisi ya Jiolojia na utafiti madini Tanzania (GST), anafafanua zaidi juu ya kile kinachohitajika ili kuingia kwenye uchimbaji madini.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service