Kosa dogo laweza sababisha marufuku yaku omba viza kwa muda wa miaka 10

Greens Seantor, Nick McKim

Greens Seantor, Nick McKim Source: AAP

Kuna ongezeko kwa wasi wasi kuhusu mageuzi kwa masharti ya viza ambayo yanaweza sababisha mtu anaye toa taarifa ya uongo katika ombi la viza, kupigwa marufuku yaku omba viza kwa muda wa miaka kumi.


Mageuzi yaliyo fanywa mapema mwezi huu yana husiana na aina tofauti za viza za mpito, viza za wanafunzi, familia na uhamiaji ziki jumuishwa.

Wataalam wame onya kuwa hata kosa dogo, ama kosa lisilo lakusudi linaweza sababisha athari mbaya.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service