Serikali ya shirikisho imetoa rasimu yake ya muswada unaokabiliana na ubaguzi wakidini, wenye lengo laku linda haki zawa Australia, kuweka wazi imani zao zakidini.
Wakati huo huo vikundi vya wanaharakati na vyama vya upinzani kwa pamoja vinakosoa muswada huo, baadhi ya vikundi hivyo vina ionya serikali kuwa muswada huo unaweza ainisha ubaguzi.
Rasimu ya sheria hizo kwa sasa, zita wekwa katika mashauriano ya umma, na muswada kamili unatarajiwa kuwasilishwa bungeni Oktoba.
Share





