Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Rasimu ya muswada waubaguzi wakidini ya serikali yazua hisia mseto

Viongozi wakidini wapinga rasimu ya sheria dhidi ya ubaguzi wakidini

Viongozi wakidini wanahofu rasimu ya sheria dhidi ya ubaguzi wakidini, itatoa kinga kwa watu kuvunja sheria katika jina la dini. Source: AAP

Serikali ya shirikisho imetoa rasimu yake ya muswada unaokabiliana na ubaguzi wakidini, wenye lengo laku linda haki zawa Australia, kuweka wazi imani zao zakidini.


Published

By Bethan Smoleniec

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Serikali ya shirikisho imetoa rasimu yake ya muswada unaokabiliana na ubaguzi wakidini, wenye lengo laku linda haki zawa Australia, kuweka wazi imani zao zakidini.


Wakati huo huo vikundi vya wanaharakati na vyama vya upinzani kwa pamoja vinakosoa muswada huo, baadhi ya vikundi hivyo vina ionya serikali kuwa muswada huo unaweza ainisha ubaguzi.

Rasimu ya sheria hizo kwa sasa, zita wekwa katika mashauriano ya umma, na muswada kamili unatarajiwa kuwasilishwa bungeni Oktoba.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now