Rasimu ya muswada waubaguzi wakidini ya serikali yazua hisia mseto

Viongozi wakidini wapinga rasimu ya sheria dhidi ya ubaguzi wakidini

Viongozi wakidini wanahofu rasimu ya sheria dhidi ya ubaguzi wakidini, itatoa kinga kwa watu kuvunja sheria katika jina la dini. Source: AAP

Serikali ya shirikisho imetoa rasimu yake ya muswada unaokabiliana na ubaguzi wakidini, wenye lengo laku linda haki zawa Australia, kuweka wazi imani zao zakidini.


Wakati huo huo vikundi vya wanaharakati na vyama vya upinzani kwa pamoja vinakosoa muswada huo, baadhi ya vikundi hivyo vina ionya serikali kuwa muswada huo unaweza ainisha ubaguzi.

Rasimu ya sheria hizo kwa sasa, zita wekwa katika mashauriano ya umma, na muswada kamili unatarajiwa kuwasilishwa bungeni Oktoba.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service