SBS Swahili ime zungumza na msanii wa chata kutoka Kenya, WiseTwo ambaye ametua mjini Adelaide, Kusini Australia kushiriki katika tamasha ya sanaa.
Tamasha hiyo ya sanaa ime andaliwa na Bi Victoria Lewis, mwanzilishi wa shirika la SANAA: A Better World Through Creativity.
Kwa maelezo ya ziada kuhusu tamasha hiyo tembelea tovuti hii: www.abetterworldthroughcreativity.com/streetfestival
Share
