Kwa wahamiaji wengi na wakimbizi, kuendelea kushiriki katika vitu vyakitamaduni vyaku kuwa nakula chakula ni muhimu katika harakati zao zaku jenga maisha mapya nchini Australia.
Katika jimbo la magharibi Australia, wa Australia wenye asili ya Afrika wanageuzi sehemu za makazi yao kupanda mimea tofauti, nakuhifadhi vyakula vyakipekee vya asili yao.
Hiyo ni mbinu moja yaku hakikisha utamaduni unaendelea kuishi, kwa wale ambao hawana tatizo kujichafua.
Share





