Wahamiaji wakiafrika, wageuza makazi yao kuwa vikapu vya vyakula

Jamii yashiriki katika mavuno, katika bustani ya jumuia ya mjini

Jamii yashiriki katika mavuno, katika bustani ya jumuia ya mjini Source: Getty Images

Kwa wahamiaji wengi na wakimbizi, kuendelea kushiriki katika vitu vyakitamaduni vyaku kuwa nakula chakula ni muhimu katika harakati zao zaku jenga maisha mapya nchini Australia.


Katika jimbo la magharibi Australia, wa Australia wenye asili ya Afrika wanageuzi sehemu za makazi yao kupanda mimea tofauti, nakuhifadhi vyakula vyakipekee vya asili yao.

Hiyo ni mbinu moja yaku hakikisha utamaduni unaendelea kuishi, kwa wale ambao hawana tatizo kujichafua.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service