Tamasha ya Africultures yatinga miaka 10

Baadhi ya walio hudhuria tamasha ya Africultures wafunguka kuhusu hafla hiyo

Baadhi ya walio hudhuria tamasha ya Africultures wafunguka kuhusu hafla hiyo Source: SBS Swahili

Tamasha ya Africultures ili anza kama wazo la kuleta pamoja jamii zawa Afrika kuchangia tamaduni zao pamoja na marafiki wapya na jamii pana katika nchi yao mpya.


Tamasha hiyo kwa sasa ime kuwa kwa umaarufu, kiasi kwamba kwa sasa ina nafasi yakipekee katika kalenda yamatukio mkoani NSW, Australia, ambako watu husafiri kutoka maeneo ya kanda na mikoa ya karibu kushiriki katika hafla hiyo.

SBS Swahili ilizungumza na baadhi ya waanzilishi na walio hudhuria tamasha yakuadhimisha miaka 10 ya Africultures.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service