Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Akram:"Tuko hapa kushinda kombe"

Nahodha wa timu ya Jamhuri ya Congo Akram (kulia) akiwa pamoja na meneja wa timu ya na mchezaji mwenza..JPG

Vijana wanao wakilisha Jamhuri ya Congo katika kombe la Afrika la New South Wales, wame jipa fursa yakufuzu kwa robo fainali ya kombe hilo.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Vijana wanao wakilisha Jamhuri ya Congo katika kombe la Afrika la New South Wales, wame jipa fursa yakufuzu kwa robo fainali ya kombe hilo.


Vijana hao walihitaji ushindi katika mechi yao dhidi ya wapinzani wao wakaribu Senegal, na ndivyo walivyo fanya katika mechi iliyokuwa na ushindani mkubwa mno.

Nahodha wa timu hiyo Akram pamoja na Mwalimu wao Bw Benin, walieleza SBS Swahili jinsi walivyo jiandaa kwa mechi hiyo mhimu pamoja na matarajio yao katika mechi ya mwisho yamakundi.

Bw Akram alisisitiza kuwa lengo kuu la timu yake nikushinda kombe hilo, licha ya ushindani mkubwa utakao kuwa mbele yao kutoka timu zingine.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now