Akram:"Tuko hapa kushinda kombe"

Nahodha wa timu ya Jamhuri ya Congo Akram (kulia) akiwa pamoja na meneja wa timu ya na mchezaji mwenza..JPG

Vijana wanao wakilisha Jamhuri ya Congo katika kombe la Afrika la New South Wales, wame jipa fursa yakufuzu kwa robo fainali ya kombe hilo.


Vijana hao walihitaji ushindi katika mechi yao dhidi ya wapinzani wao wakaribu Senegal, na ndivyo walivyo fanya katika mechi iliyokuwa na ushindani mkubwa mno.

Nahodha wa timu hiyo Akram pamoja na Mwalimu wao Bw Benin, walieleza SBS Swahili jinsi walivyo jiandaa kwa mechi hiyo mhimu pamoja na matarajio yao katika mechi ya mwisho yamakundi.

Bw Akram alisisitiza kuwa lengo kuu la timu yake nikushinda kombe hilo, licha ya ushindani mkubwa utakao kuwa mbele yao kutoka timu zingine.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Akram:"Tuko hapa kushinda kombe" | SBS Swahili