Al Shabaab wa wauwa polisi 5 katika shambulizi nchini Kenya

Polisi wa Kenya wabeba maiti mjini Mandera Kenya baada ya shambulizi la Al shabaab

Polisi wa Kenya wabeba maiti mjini Mandera Kenya baada ya shambulizi la Al shabaab Source: AAP

Kenya inapo endelea na kampeni yakutokomeza ugaidi dhidi ya wanamgambo wa Al Shabaab wa Somalia, kundi hilo nalo lime kuwa likijibu kwaku shambulia maeneo kadhaa ndani ya mipaka ya Kenya.


Walimu wengi ambao si wazawa wa maeneo karibu ya mpaka wa Kenya na Somalia, wame wasilisha maombi yauhamisho baada ya wenzao ku uawa kinyama na wao wenyewe kushambuliwa pia, kiasi kwamba wame kataa kurejea kazini.

George Musamali alikuwa katika kitengo maalum cha polisi ya Kenya zamani. Kwa sasa ni mchambuzi wa maswala ya ulinzi na usalama nchini Kenya pamoja naku ongoza kampuni inayo toa huduma ya ulinzi binafsi.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, ali tuarifu kuhusu hali tete ya usalama nchini Kenya ambako mamlaka inakabiliana na vikundi tofauti nchini pamoja na kile cha Al Shabaab.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service