Chama cha matibabu cha Australia kinataka adhabu kali zitolewe kwa madereva wenye leseni zenye masharti wanaotumia simu za mkono wakiendesha gari.
Hiyo ni moja ya mapendekezo ambayo shirika hilo limetoa kupunguza ongezeko la ajali za barabara.
Shirika la AMA limependekeza pia, pare na sheria kali yakukabiliana na uchovu miongoni mwa madereva ambao ni wadhoefu.
Share

