AMA yaitisha adhabu kali kwa madereva wanaotumia simu

Kutumia simu na kuendesha gari ni mchanganyiko mbaya

Kutumia simu na kuendesha gari ni mchanganyiko mbaya Source: AAP

Chama cha matibabu cha Australia kinataka adhabu kali zitolewe kwa madereva wenye leseni zenye masharti wanaotumia simu za mkono wakiendesha gari.


Hiyo ni moja ya mapendekezo ambayo shirika hilo limetoa kupunguza ongezeko la ajali za barabara.

Shirika la AMA limependekeza pia, pare na sheria kali yakukabiliana na uchovu miongoni mwa madereva ambao ni wadhoefu.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service