SKIP TO MAIN CONTENT

AMA yaitisha adhabu kali kwa madereva wanaotumia simu

Kutumia simu na kuendesha gari ni mchanganyiko mbaya
Kutumia simu na kuendesha gari ni mchanganyiko mbaya Source: AAP

Chama cha matibabu cha Australia kinataka adhabu kali zitolewe kwa madereva wenye leseni zenye masharti wanaotumia simu za mkono wakiendesha gari.


Published

Updated

By Michelle Rimmer

Presented by SBS Swahili

Source: SBS



Skip to podcast episode content

Chama cha matibabu cha Australia kinataka adhabu kali zitolewe kwa madereva wenye leseni zenye masharti wanaotumia simu za mkono wakiendesha gari.


Hiyo ni moja ya mapendekezo ambayo shirika hilo limetoa kupunguza ongezeko la ajali za barabara.

Shirika la AMA limependekeza pia, pare na sheria kali yakukabiliana na uchovu miongoni mwa madereva ambao ni wadhoefu.


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now