Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Amedee bado tuna safari ndefu kisiasa barani Afrika

Raia wa Australia debeni wakiwachagua viongozi wao

Raia wa Australia debeni wakiwachagua viongozi wao Source: Getty / Getty Images

Wakaazi wa New South Wales walishiriki katika uchaguzi ulio bandua serikali mamlakani.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Wakaazi wa New South Wales walishiriki katika uchaguzi ulio bandua serikali mamlakani.


Kilicho washangaza wahamiaji na watu walio hamia New South Wales kama wakimbizi, ni jinsi kampeni za uchaguzi huo zilianza naku kamilika bila wengi wao kujua kulikuwa na uchaguzi mhimu wanako ishi.

Bw Amedee ni kiongozi mstaafu wa jamii yawarundi wanao ishi New South Wales. Katika mazungumzo na SBS Swahili alifunguka kuhusu tofauti kati ya kampeni za uchaguzi ambazo ameshuhudia katika baadhi ya nchi aliko ishi, na kampeni za uchaguzi alizo shuhudia nchini Australia.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now