Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Amonde: Tume kuja kushinda

Andrew Amonde nahodha wa timu ya taifa ya Kenya, ya raga ya wachezaji saba
Andrew Amonde nahodha wa timu ya taifa ya Kenya, ya raga ya wachezaji saba azungumza na SBS Swahili Source: Picha: SBS Swahili

SBS Swahili ilizungumza na nahodha wa timu ya raga ya Kenya yawachezaji saba kila upande Andrew Amonde, punde baada ya uzinduzi wa michuano ya raga ya HSBC World Sevens Series mjini Sydney


Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


SBS Swahili ilizungumza na nahodha wa timu ya raga ya Kenya yawachezaji saba kila upande Andrew Amonde, punde baada ya uzinduzi wa michuano ya raga ya HSBC World Sevens Series mjini Sydney


Bw Amonde alizungumzia umuhimu waku fanya maandalizi yakutosha kabla yakushiriki katika michuano hiyo pamoja na nishati inayo tolewa na mashabiki.

Kenya imeratibiwa kucheza katika kundi gumu sana, hata hivyo Bw Amonde amewahakikishia mashabiki kwamba, vijana wake wako tayari kukabiliana na wapinzani wao ipasavyo.

Zifuatazo ni timu ambazo zime ratibiwa kukichapa pamoja na Kenya katika kundi A: South Africa, England, Kenya, Japan


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now